SIMBA SC YASAJILI MCHEZAJI WA SITA
DAR ES SALAAM
Na.zefrine machesha
SIMBA SC imetambulisha mchezaji wa sita kusajili, ambaye ni beki Ally Shomary kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro.
Makamu wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ amemkabidhi jezi ya klabu hiyo Shomary baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuhamishia shughuli zake Msimbazi kutoka Manungu.
Shomary anaungana na kipa Emanuel Elias Mseja, mabeki Jamal Mwambeleko waliosajiliwa kutoka Mbao FC, Yussuf Mlipili kutoka Toto Africans zote za Mwanza, Shomary Kapombe na mshambuliaji John Bocco kutoka Azam FC.
Na.zefrine machesha
SIMBA SC imetambulisha mchezaji wa sita kusajili, ambaye ni beki Ally Shomary kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro.
Makamu wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ amemkabidhi jezi ya klabu hiyo Shomary baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuhamishia shughuli zake Msimbazi kutoka Manungu.
Shomary anaungana na kipa Emanuel Elias Mseja, mabeki Jamal Mwambeleko waliosajiliwa kutoka Mbao FC, Yussuf Mlipili kutoka Toto Africans zote za Mwanza, Shomary Kapombe na mshambuliaji John Bocco kutoka Azam FC.

Post a Comment