Malinzi na wenzake kuendelea kusota rumande
Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri alisema
upande wa utetezi wenyewe wanatambua kuwa mashitaka ya utakatishaji
fedha hayana dhamana.
Watuhumiwa hao wanakabiliwa na kesi ya kughushi nyaraka za serikali pamoja na utakatishaji pesa wamekosa dhamana kwani upelelezi upande wa Jamhuri haujakamilika

Post a Comment