TANZIA: MKE WA MZEE YUSUF 'BI CHIKU' AMEFARIKI DUNIA
DAR ES SALAAM
Kupitia Instagram yake Mtangazaji wa Clouds FM Geah Habib ameandika:
>>>”Innalillah wainaillah rajuun mke mdogo wa Mzee Yusufu #Chiku amefariki dunia usiku huu alipokuwa akijifungua na mtoto amefariki taarifa zaidi tutaendelea kupeana!!” – Geah Habib.
Chiku amekutwa na mauti jana siku ya Jumamosi June 17,2017 jioni katika hospitali
ya Amana, Ilala ya jijini Dar es Salaam alipopelekwa kujifungua.
Mzee Yussuf amesema alimpeleka mkewe Hospitalini hapo jana June 17,2017 saa
10 alasiri kwa ajili ya kujifungua na kwa bahati mbaya alikutwa na mauti
hayo baada ya upasuaji uliofanywa kutokwenda salama hivyo kusababisha
kumpoteza mkewe na mtoto aliyezaliwa.


Post a Comment